Bado Lulu ‘anamchanganya’ Bahati kutoka Kenya

Kitendo cha Elizabeth Michael ‘Lulu’ kumuweka msanii Bahati kutokea Kenya hotelini kinyume na makubaliano yao, bado hakimtoki kichwani muimbaji huo wa gospel.

Kwa mujibu wa Bahari mwaka 2016 alikuja Tanzania kwa ajili ya kufanya video ya wimbo wake ‘Maria’ na alipanga kumtumia Lulu kama video vixen, hata hivyo mrembo huyo hakutokea katika kikao walichopanga kingefanyika hotelini.

Kwa sasa Bahati amerudi tena Tanzania kwa ajili ya kufanya kazi na msanii wa WCB, Mbosso, hata hivyo bado anakumbuka alichofanyiwa na Lulu.

“Ilikuwa meeting ya video vixen, kama alinifanyia hivyo je anayempenda inakuwaje?, na mimi nilikuwa nimeweka shilingi kidogo, naongea kwa uchungu,” amesema Bahati hapo jana mara alipowasili Bongo.

Soma Pia; Bahati asimulia kilichomtokea kwa Lulu

Hata hivyo baada ya kutompata Lulu, Bahati alikuja kufanya video hiyo na Jokate Mwegelo.

Kabla ya tukio hilo kutokea, hapo awali muimbaji huyo aliwahi kueleza hisia zake kwa Lulu kupitia vyombo vya habari kwa kueleza kuwa iwapo atampata mrembo huyo atakuwa ametulia kabisa.

Siri Gari Mpya ya Diamond Yafichuka

DAR ES SALAAM: Lile gari jipya la staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ aina ya Land Cruiser, ambalo limedaiwa ni toleo jipya la 2018 kuzua gumzo mitandaoni, siri imefichuka kuwa si jipya bali ni la zamani lakini limebadilishwa muundo na Kampuni ya TTTR Auto Up Grades. Co. Ltd iliyopo Mikocheni B jijini Dar.



Chanzo makini kililieleza Amani kuwa tangu awali mzazi mwenziye na mwanamuziki huyo, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ alipoanika ndinga lake jipya ilionekana wazi kwamba msanii huyo aliamua kulipiza kisasi kwa kutupia Land Cruiser hilo.

Diamond kwa mara ya kwanza alianika gari hilo kwenye ukurasa wake wa Instagram ambapo watu wengi walikuwa wakimpongeza kwa hatua hiyo ya kununua gari hilo jipya la mwaka 2018.

SIRI YAFICHUKA

Baada ya Diamond kuanika gari hilo, Amani lilidodosa mmoja wa wamiliki wa kampuni iliyomtengenezea gari hilo ambaye alikiri kuwa ni la zamani lakini wamelifanyia matengenezo na kuonekana jipya huku akigoma kutaja gharama yake.


“Sisi ndiyo tumelitengeneza hilo gari na kulibadilisha kama kutoka katika gari la zamani lakini hatuna mamlaka ya kusema ni kiasi gani mteja wetu katumia kwenye matengenezo hayo mpaka mwenyewe aruhusu,” alisema mmiliki huyo aliyeomba hifadhi ya jina.


Kumekuwa na ushindani mkubwa kati ya timu Zari na timu Diamond baada ya msanii huyo kulionyesha gari hilo kwa mara ya kwanza kwenye mitandao ya kijamii na kuzua mjadala huku kila mtu akimsifia mtu wake.

Hapa kuna Mbuzi na Kuku Lazima Tuheshimiane- Steve Nyerere

Msanii wa filamu bongo ambaye pia ni mchekeshaji maarufu Steve Nyerere, ameingilia kati ugomvi baina ya Duma na Gabo Zigamba huku akimtaka Duma kuachana na masuala hayo kwa kuwa anaetaka kushindana naye yupo juu yake zaidi kwa kila kitu.


Steve ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha eNewz kutoka EATV huku akionekana kukerwa na kitendo hicho ambacho kimedumu kwa muda mrefu kwa wawili hao na kupelekea Steve kuwafananisha na wanyama aina ya mbuzi na kuku kutokana na tabia zao.

"Hapa katikati kuna mbuzi na kuku, lazima tuheshimiane kutokana na urefu na hata jinsi mbuzi anapochinjwa kilo zake huwa kubwa na kilo za kuku ni ndogo. Kwa hiyo lazima waheshimiane hata kwa kilo, ukuaji. Wasifikilie kwamba ugomvi wanapokuwa wanagombana ulaya basi nasi Afrika tufanye ili tuuze sokoni maana wengine wanasema kugombana ni kiki, na kataa hilo muda mwingine ni kudhalilishana tu", amesema Steve.

Pamoja na hayo, Steve Nyerere ameendelea kwa kusema "heshima sio lazima uwe umetokanayo nyumbani kwenu hata unapokuwa heshima unakuwa nayo ili upate kumuheshimu kila mmoja upate connection na maisha ya kesho na kesho kutwa".

Nahitaji Ushauri, Mke Amebadilika Sana Tangu Mimi Niondoke..

Wadau hamjambo,

Naomba msaada, niko South Africa since last week, niliondoka Tz mpaka South Africa baada ya kupata mchongo kwa rafiki yangu ambaye alinitafutia mchongo wa kazi.

Namshukuru Mungu nilifika salama na maisha yanaendelea vyema kabisa.
suala kubwa lililopo ni kuhusu wife wangu, kipindi naondoka nilimshirikisha lakini alionekana kuwa na hasira sana juu ya uamuzi wangu wakuja South,

Nilijaribu sana kumsihi yakuwa nakuja kuangalia namna mambo au upepo ulivyo kisha nitageuza lakini alishindwa kunielewepa kabisa na kuwa mtu mwenye hasira kiasi ambacho hata unyumba alininyima.

Nikafikiri sana namna gani yakufanya, sikuona namna, maana nilikuwa tayari nishakatiwa ticket ya kuja na kurudi(Go and Return) yaani kama mambo yakiwa mabaya niko huru kurudi. Basi kiukweli nilichukua uamuzi mgumu nikafwatilia kila kitu na safari ikaiva yakuja South, nikaondoka na kufika salama.

Lakini kabla sijaondoka wife alinitumia sms na kuniambia nisimshirikishe lolote wala kumpigia wala kuhangaika na yeye.

Sasa tangu nimefika nimejaribu kumtumia sms, kutaka kujua hali ya maendeleo na nilimwomba hata akaunt ya bank ili nimtumie pesa kwa ajili ya matumizi, lakini wadau huyu mwanamke alinitukana na kunitumia sms za ajabu sana, oooh, wewe mwanaume gani, tena kwa taarifa yako nimeshapata baba wa mtoto na maneno mengine mengi ya ajabu.

Kweli najisikia vibaya sana na majuto kuwa na mwanamke mwenye hasira na asiye na kipimo cha maneno kwangu kwa heshima. Japo alinitukana vya kutosha lakini sijaacha kumtumia sms za kutaka kujua hali yake na mtoto, ila cha ajabu hajibu chochote.

Niko njiapanda, nishaurini nifanye nini, kwa wadau naombeni ushauri wenye hekima ili niuchukue maana niko mbali na ninahisi kuumia sana.

Please ushauri sio kejeli.

Binti wa Kiganda Aeleza Sababu za Kujiteka

Nakusogezea hii kuhusu Jeshi la Polisi ambapo limemkamata mtoto wa miaka 15 baada ya kufeki kutekwa na kubakwa ili ajipatie fedha kwa baba yake nchini Uganda.

Msichana huyo alimpigia simu baba yake David Kazibwe, akimwambia kuwa ametekwa na wanaume wanne ambao wanahitaji Shilingi Milioni 30 za kiganda ambazo ni sawa na zaidi ya Milioni 18 za kitanzania ili aachiwe huru jumamosi iliyopita.

Afisa wa kituo cha polisi cha Bujuuko Emmy Nuwagira amesema kuwa Kazibwe aliwaarifu polisi baada ya mtoto wake huyo kurudi nyumbani na baada ya kumuuliza alikuwa wapi alidai kuwa amefanikiwa kuwatoroka watekaji.

Kazibwe aliwaambia polisi pia baada ya kurudi nyumbani alikuwa akilalamika kuwa anasikia maumivu makali  yaliyosababishwa na kubakwa na kundi hilo la wabakaji.

Baada ya kumpeleka kituo cha polisi kwa ajili ya kuandika maelezo na punde polisi kuanza kumhoji waligundua kuwa maelezo yake yanakinzana na ndipo walipoamua kumpeleka katika kituo cha afya cha Nyange ili akafanyiwe vipimo.

Kwa mujibu wa ripoti ya daktari ni kuwa mtoto huyo ni bikira yaani hajawahi kufanya tendo la ndoa katika maisha yake yote  na wala  hakuwa na majeraha yoyote kwenye mwili wake.

Hata hivyo mtoto huyo alikubali baadae mwenyewe kuwa alifeki kutekwa ili apate fedha kutoka kwa baba yake ili aanzishe biashara yake.

“Nilikuwa nimechoka kukaa nyumbani hivyo nilikuwa nataka baba anipe hela nikaanzishe maisha yangu mapya sehemu nyingine” alisema mtoto huyo.

Kwa sasa mtoto huyo anashikiliwa katika kituo cha polisi cha Bujuuko kwa kutoa taarifa za uongo na kufeki kutekwa.

Sasha 'Nitaendelea Kupiga Picha za Nusu Utupu Baada ya Kupumzika Kwa Muda'

LICHA ya Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza kuwafungia na kuwaita na kuwakanya wasanii ambao wamekuwa wakijianika nusu utupu, muuza nyago kwenye video mbalimbali za wanamuziki Bongo, Sasha Kassim amefunguka kuendelea kupiga picha za nusu utupu.

Akizungumza na Gazeti la Amani, Sasha alisema kuwa anajiandaa kupiga picha nyingine ambazo kama ni nguo za ndani zitaonekana nadhifu na zenye kuvutia na pia zitapungua ‘ukali’.

 “Nilipotea kwa sababu niliibiwa akaunti yangu ya Instagram, si unajua ilikuwa na picha nyingi sana ila sasa hivi najiandaa kupiga picha nyingine mpya zitakuwa zikinionyesha sehemu zangu za mwili lakini zitakuwa zenye kujistiri kidogo,” alisema Sasha

SMS ZA MAPENZI KWA MPENDAE

Ni kitu muhimu sana katika maisha ya uhusiano kwani zinatia chachu na kumfanya mwenza wako ajihisi ni wa pekee katika kichwa chako,kwamba unampenda,unamkumbuka na unamjari sana.
hizi ziguatazo ni sms mbalimbali ambazo unaweza kumtumia mwenza wako asubuhi,mchana au usiku na hata kama umemkosea zipo sms ambazo zinaweza kukuwakilisha wewe kwa mpenzi wako


namshukuru ALLAH kwa kuamka salama ,ni jambo la kumshukuru nawe kwa kuona siku nyingine,sauti za tawala masikioni mwangu,na

ni furaha yangu kusikia u hali gani
.........................
ni usiku tulivu wenye hali ya hewa saafi na usingizi wa amani ukishika hatamu kuzisafirisha fikra za binadamu katika

ndoto! najua umechoka na pilikapilika za mchana ,jua na makelele na kila aina ya mwingiliano wa sauti ,ni wasaa mzuri sasa

wakupumzisha mwili na akili yako.amua kumsamehe aliyekuudhi mchana wa leo na pia kumbuka ulipokosea leo ili kesho

usirudie,lakini pia jipongeze kwa mafanikio ya mipango yako,fumba macho uikaribie nchi usiyoijua.g9t
......................
naukunjua moyo wangu huishi milele maishani ,nafungua nafsi nikupende wewe pekee,nafunga milango ya moyo wangu ili

kutokupokea ugeni wowote wa moyo zaidi yako mpenzi.nakupenda sana laazizi
........................
sipo tayari kuukabidhi moyo wangu kwa mwingine zaidi yako,wewe ni wa pekee maishani mwangu mwenye kujua hisia moyoni mwangu

mpenzi nipende daima pendo lako nitalienzi, nakupenda
.......................
lala ulale vyema na upoe moyo wako,lala ulale salama utulie roho yako,lala usingizi mwema upumzishe akili yako,akujalie

karima zitimie njozi zako.usiku mwema

Diamond Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Sakata la Kumwaga Zari

AMEFUNGUKA kwa mara ya kwanza! Baada ya kusambaa kwa maneno ya chinichini kwamba mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amemuangukia mzazi mwenzake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ akimuomba radhi ili warudiane, staa huyo ameibuka na kutolea ufafanuzi ishu hiyo.

Ubuyu huo uliosambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii, uliibuka hivi karibuni na kueleza kuwa, kwa nyakati tofauti, Diamond alitinga nchini Afrika Kusini ‘Sauz’, nyumbani kwa mwanamama huyo wa Kiganda na kumuomba msamaha ili waweze kurudiana na kulea watoto wao wawili, Tiffah na Nillan.

ETI NI KWA SABABU KAMKOSEA…

Ubuyu huo ulikolezwa nakshi mitandaoni baada ya kuaminika kuwa, Diamond ndiye mwenye makosa ndiyo maana Zari alitangaza kumuacha.

KWA NINI ZARI ALIMUACHA?

Mara kadhaa Zari amekuwa akieleza wazi kwamba, kilichomsababisha aamue kummwaga Diamond ni kutokana na kutokuwa mwaminifu na kuhisi anamkosea heshima.

MAHOJIANO ‘KARENTI’

Kwenye mahojiano yake ya hivi karibuni ‘karenti’ jijini Nairobi, Kenya, Zari alisema kuwa, aliamua kumpiga chini Diamond kutokana na matendo yake maovu (michepuko) na kamwe hayuko tayari kurudiana naye.Alisema kuwa, ataendelea kubaki kuwa baba wa watoto wake, lakini uhusiano wao hauwezi kufufuka upya kwa sababu ya usalama wake.


TUANGAZIE VYANZO VINGINE

Vyanzo vingine ambavyo vilizungumza na Ijumaa Wikienda viliushibisha zaidi ubuyu wa mkali huyu wa ngoma ya African Beauty kwa kueleza kuwa, Diamond anahaha kunusuru uhusiano wake kwani Zari ndiye mwanamke pekee, chaguo la mama yake, Sanura Kassim ‘Sandra’.

“Hakuwa na jinsi, mama yake hamtaki Mobeto (Hamisa) kama ulivyoona juzikati alimpa vitasa. Mama Diamond kipenzi chake ni Zari hivyo hiyo pia imechangia kumshawishi Diamond aende Sauz kuomba radhi,” kilieleza chanzo kimoja, madai ambayo pia yalielezwa na vyanzo vingine tofauti.

KWA NINI

DIAMOND ANASEMAJE?

Baada ya kupata ubuyu huo kutoka vyanzo mbalimbali, wikiendi iliyopita Ijumaa Wikienda lilimtafuta Diamond ambapo kwa mara ya kwanza tangu aachwe na Zari alimzungumzia mrembo huyo aliyempa heshima ya kuwa baba kwa kumzalia watoto hao wawili kwani kabla ya hapo alisimangwa kutokana na ishu ya kutopata mtoto na msururu wa warembo ‘aliodozi’ nao kimalovee.

AKATAA KUZUNGUMZIA YA KENYA

Kwenye mazungumzo hayo maalum, Diamond alikataa kuzungumzia kauli za Zari alizozitoa hivi karibuni huko Nairobi dhidi yake kwa kile alichodai kuwa hakina maana kwa sasa. “Hayo ya Kenya bwana achana nayo maana yameshapita, mimi nafikiri niulize kuhusu haya ya sasa itapendeza,” alisema Diamond.



KUHUSU KUOMBA RADHI SASA…

Alipoulizwa kuhusu madai hayo mapya ya kudaiwa kuenda Sauz mara kadhaa kumuomba radhi mama watoto wake huyo, Diamond alianza kwa kukiri kwenda nyumbani kwa Zari, Sauz kisha akafafanua zaidi madai hayo.

“Ni kweli ninaenda. Siyo mara moja au mara mbili nimeenda. Nakwenda kule si kwa maana ya kumuomba msamaha, hapana. Nakwenda kule kwa ajili ya kuwaona wanangu. “Haiwezekani eti niwe natuma tu fedha kwa ajili ya matumizi halafu nimeenda Sauz, nisiende kuwaona wanangu, hilo litakuwa ni jambo la ajabu sana.

“Hao wanaosema kwamba sijui nimemuangukia, nafikiri itakuwa ni maoni yao tu na stori za kutunga, lakini kimsingi ni kwamba hayana ukweli wowote. “Zari ni mama wa watoto wangu na itabaki kuwa hivyo,” alisema Diamond.

TUMEFIKAJE HAPA

Baada ya kuugulia moyoni kwa muda mrefu, Februari 14, mwaka huu, Zari ‘yalimfika hapa’, akaona isiwe tabu, kupitia ukurasa wake wa Instagram, akatangaza rasmi kummwaga Diamond.

Badala ya kuposti maua yenye kuashiria upendo kwa maana ya kusherehekea sikukuu ya Wapendanao (Valentine’s Day), Zari aliposti ua jeusi na kusindikiza na ujumbe mzito uliobeba hoja za kwa nini ameamua ‘kumtapika’ Diamond.

UJUMBE ULISOMEKA WENYEWE

Kwenye ujumbe huo, Zari, mama wa watoto watano, alisema anatambua kwamba ilikuwa vigumu kwake kufikia umauzi huo, lakini hakuna namna anayoweza kufanya kulinda heshima yake kwani Diamond amekuwa akihusishwa na skendo mbalimbali za wanawake katika vyombo vya habari. Mwisho akapigilia msumari ujumbe wake kwa kusema ameamua kuachana na Diamond kama mpenzi wake, lakini ataendelea kubaki kama baba wa watoto wake.

WANAWAKE WENYEWE NI WAPI?

Licha ya kwamba yapo maovu ambayo yanadaiwa kufanywa kwa siri na Diamond, lakini yaliyoweza kunaswa na mapaparazi na kupamba vyombo vya habari ni pamoja na ishu ya kumpa mimba mwanamitindo Hamisa Mobeto.

Huku akiwa kwenye uhusiano mzito na Zari, Diamond alijiiba kwa siri na kufanikiwa ‘kummega kisela’ Mobeto hadi kuzaa naye mtoto mmoja, hali ambayo inadaiwa kumkasirisha mno Zari. Kama hiyo haitoshi, imedaiwa kuwa madai ya Diamond kurudiana na mrembo Wema Isaac Sepetu nayo yalikuwa yakimkosesha usingizi Zari.

Stori: Mwandishi Wetu, Dar

Hii Hapa Sababu Kubwa Inayowafanya Wanawake Kupiga Kelele Wakati wa Tendo la Ndoa

Kumekuwa na tabia au hali ya wanawake wengi kupiga kelele au unaweza kusema kutoa sauti wakati wakishiriki tendo la ndoa. Hali hii imeacha maswali kama kutoa huko sauti ni jambo la asili au ni mwanamke mwenyewe anaamua hapa atoe sauti na kwingine asitoe.

Mwaka 2011 watafiti wawili mmoja kutoka Chuo Kikuu cha Lancashire na mwingine kutoka Chuo Kikuu cha Leeds wote wa nchini Uingereza walichapisha utafiti wao walioufanya uliokuwa ukihusu utoaji wa sauti wa kati wa kujamiina. Walitaka hasa kujua kwanini wanawake hutoa sauti hizo.

Katika utafiti huo, waliwahoji wanawake 71 wenye umri kati ya miaka 18 na 48 ambao hushiriki mapenzi mara kwa mara juu ya utoaji wa sauti wakati wa kujamiiana.

Katika utafiti huo ulibaini kuwa wanawake wengi huto sauti hizo lakini sio pale tu wanapokuwa wamefika kileleni. Asilimia 66 walisema kuwa hutoa sauti wakati wa kujamiina ili  kuwasaidia wenza wao kufika kileleni haraka, wakati asilimia 87 walisema kuwa hutoa sauti hizo ili kuwaongezea wenza wao kujiamini kwa kile wanachokifanya kuwa wapo sawa.

Wanawake walieleza kuwa mara nyingi hutoa sauti wakati wenza wao wanapofika kileleni. Baadhi pia walieleza kuwa sauti hizo huwasaidia kuwaondolea uoga walionao, hali ya kutojisikia kuwa sawa, wakati mwingine kuondoa maumivu lakini pia kama njia ya kufurahia raha anayokuwa anaipata.

Aidha, wataalamu hao walisema kuwa kwa vile wanaume wengi huhusisha utoaji wa sauti na mwanamke kufika kileleni, basi baadhi ya wanawake hutoa sauti hizo kwa uongo ili tu kuwaridhisha wenza wao waone kila kitu kipo sawa.

Kwa upande mwingine, imegundulika kuwa wanawake si jamii ya wanyama pekee ambao hutoa sauti wakati wa kujamiiana kwani hata nyani (baboons) wana aina zao za sauti ambazo huzitoa wakati wakijamiiana.

Imeelezwa kuwa wakati mwingine huwa ni vigumu sana kuelezea kila kinachotokea wakati wa kijamiiana kwa sababu kila mtu huwa na utashi wake. Lakini kitu wataalamu walichokubaliana ni kuwa sauti hizo zinaweza kumsaidia mwenza kujua kama anachofanya ni sasa hivyo aendelee au aache, aongeze au apunguze.

Andika Maoni yako Hapo Chini Utuambie nini Kinamfanya Mpenzi Wako Apige Kelele Wakati wa Kuhondomola au Kama Wewe ni Mwanamke Tueleze Sababu ya Nini Kinapelekea Hadi mnapiga kelele wakati wa game,Zingatia Lugha yenye tafsida isiyokuwa na matusi.

Ruby Azua Kizazaa Kingine, Adaiwa Kushindwa Kufanya Show Afrika Kusini

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Ruby, amesema hawezi kuzungumzia jambo lolote lililomtokea nchini Afrika Kusini alipokwenda kikazi kutumbuiza licha ya watu kudai hakuweza kuimba kutokana na vitu alivyokuwa akivitumia na kumpelekea kupata usingizi mzito na mwishowe kuishia kulala hotelini.


Ruby ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza mbele ya kamera za eNewz kutoka EATV baada ya mtangazaji wa kipindi hicho kutaka kufahamu ukweli wa mambo yaliyomsibu kama ni kweli au laa lakini cha kushangaza mwanadada huyo alihamaki na kukimbia 'interview'.

"Kuna sababu nyingi sana za mtu kusafiri na mimi ukiniona nimesafiri basi ujue nimeenda kupiga kazi. Kiufupi watu wa South Africa naweza sema ni 'very peacefully', waelewa wakisema wanapenda kitu basi ujue ni kweli, siwezi kusema ni 'show' ngapi nimefanya nikiwa huko ila huwa naziweka kwenye ukurasa wangu wa instagram", amesema Ruby.

Mtazame hapa chini Ruby akifunguka zaidi...

Nasikitika Kuona Kizazi cha 'Wife Material' Kinazidi Kupotea Duniani

Natumai mko wazima wa afya, wakuu nimekuwa katika tafiti zangu juu ya wanawake kwa muda wa miaka minne.

Jambo nililogundua ni kuwa binti wengi wanaanza mapenzi wakiwa na umri mdogo tena na watu walio wazidi umri. Yani kisa kilichonimaliza nguvu ni binti wa form one tena kiongozi wa dini, kwa macho ni katulivu, kapole lakini baba mzima ndo anafanya nae mapenzi bila aibu.

Huyo ni mmoja wapo kati ya sample 100 nilizozitumia za mabinti umri wa miaka 10 - 14.Tena wengine hawana aibu wanapost na boyfriend zao fb.

Sasa ninachojiuliza hivi mama zao hawana utaratibu wa kuwakagua bikra kila weekend kama bado zipo? Pia katika utafiti wangu nimegundua 96% ya wanawake wameolewa bila bikra.


Mwisho: NASIKITIKA SANA KUONA KIZAZI CHENYE BIKRA KINAZIDI KUPOTEA KWENYE USO WA DUNIA KAMA DINASOUR

Mbwana Samatta Atua Mecca Kufanya Umrah

Mbwana Samatta atua Mecca kufanya Umrah
Mbali na soka lakini mchezaji wa Taifa Stars na Klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta ni mtu wa ibada.

Mchezaji huyo baada ya kumalizika kwa ligi kuu ya Ubelgiji ametua mjini Mecca nchini Saudia Arabia kwa ajili ya kufanya ibada ya Umrah.


Mbwana Samatta (kushoto) akiwa na mchezaji mwenzake wa Genk, Omar Colley

Kwenye ziara hiyo, Samatta ameambatana na mchezaji mwenzake wa Genk, Omar Colley ambaye ni raia wa nchini Gambia.

Samatta anatarajiwa kurejea hapa nchini muda sio mrefu kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa hisani wa kuchangia elimu kati yake na timu ya Alikiba kwenye mchezo ambao unatarajiwa kuchezwa Juni 9, mwaka huu.

"Mimi Sipendi Kutumia Kondomu" - Chemical

"Mimi sipendi kutumia kondomu" - Chemical
Mwanamuziki anayefanya poa na ngoma zake , Chemical ameweka wazi kuwa yeye siyo muumini wa kutumia kinga (kondomu) ndiyo maana mara nyingi anapenda kuwa kwenye mahusiani na mtu ambaye ni muaminifu.


Kupitia kipindi cha Kikaangoni  kinachorushwa kila Jumatano kupitia ukurasa wa Facebook EATV, Chemical amesema hayo wakati alipoulizwa na mtangazaji wa kipindi hicho mara yake ya mwisho kutumia kinga.

"Mara ya mwisho kutumia kinga wakati nafanya mapenzi ni muda kidogo, ila kiukweli mimi sio shabiki wa kinga kabisa. Mambo ya kinga kinga mimi hapana ndiyo maana napenda sana kuwa na mtu aliyetulia. Chemical"

Pamoja na hayo Msanii ameweka wazi kwa sasa hayupo kwenye mahusiano na mtu yoyote kwa kuwa ameamua kuchagua kutengeneza maisha yake na kuhofia kuumizwa moyo wake.

Amber Lulu Ametaja List ya Mastaa wote Bongo Aliowahi Kutoka nao

Muimbaji wa Bongofleva Amber Lulu leo kupitia mahojiano yake na kipindi cha Break cha Clouds TV amekuwa gumzo mitandaoni baada ya kukubali kuweka wazi orodha ya mastaa wa Bongo ambaye amewahi kutoka nao kimapenzi.

Amber Lulu akihojiwa na Simple The Boy aliulizwa vipi anatoka kimapenzi na Nuh Mziwanda na alikanusha  lakini alipoulizwa  ni mastaa gani wa bongo ambao amewahi kuingia nao katika mahusiano ya kimapenzi alikuwa radhi kusema.

“Mimi na Nuh  ni marafiki tu na tumefanya kazi pamoja list ya mastaa ambao nimewahi kulala nao ni Barnaba, Aslay, Rammy Garis ila Young Dee sio sana lakini Prezoo ni mume wangu unajua nampenda tu naomba anisamehe tu” Amber Lulu

MSAMI “Nilivyoachana na Uwoya Nilikuwa Bado Nampenda”

Jana May 30, 2018 kupitia kipindi cha XXL cha Clouds Fm dancer na pia msanii wa Bongofleva  Msami alifanya mahojiano na kuongea vitu kibao ikiwemo mahusiano yake na muigizaji Irene Uwoya ambaye kwa sasa ni mke halali wa Dogo Janja.

Msami amefunguka na kusema kuwa Godzilla aliwahi kumpigia simu aliyekuwa mpenzi wake Irene Uwoya na kumzungumzia vibaya juu yake na hakujua lengo halisi la Godzilla kufanya hivyo ilikuwa ni nini hasa.

“Wakati nikiwa na mahusiano na Irene Uwoya Godzilla alimpigia simu uwoya na kunipondea sana”

Msami ameongezea pia na kusema kuwa wakati anaachana na Irene Uwoya alikuwa bado anampenda.

Weusi ni Ubunifu Wangu - Nisher

Muongozaji wa video za muziki wa bongo, Nisher amefunguka kufafanua kwa nini amekuwa akitumia rangi nyeusi katika kazi zake na kudai ni ubunifu wa kujitofautisha na watu wengine wengi wanaofanya kazi hiyo.


Nisher amefunguka hayo baada ya maswali mengi mtaani kuzagaa kwa kipindi kirefu  kwa nini anatumia rangi nyeusi, kwa kudai kwamba video ni kama nguo ikivaliwa leo kesho itapumzishwa hivyo yeye kuweka rangi nyeusi ni kubadilisha mionekano ya rangi za video kama ilivyokuwa imezoeleka hapo awali.

Picha ya  wimbo wa weusi 'Gere' aliouongoza Nisher.
Aidha Nisher amefafanua na kusema kwamba  elimu ya uongozaji wa videoi aliyoipata nchini Marekani inamsaidia sana katika kufanya kazi zake kitaalamu jambo ambalo lilimfanya wasanii wengi kumkimbilia tangu alipojiingiza kwenye tansnia ya muziki.

"Kutumia elimu kwenye tasnia ya video ni nzur kwa sababu inakufanya uwe smart kuanzia kwenye makubaliano ya kazi mpaka ufanyaji wake. Siyo mbaya mtu kutumia kipaji chako cha mtaani lakini ukichanganya na suala la emu lazima mtu atakuwa anakeheshimu jinsi ambavyo unaifanya kazi yako" - Nisher aliongeza.

Akizungumzia kuhusu wimbi la waongozaji video kuongezeka kila Siku Nisher amesema "Ma- directors wanavyoongezeka kila siku ni tafsiri ya kuwa industry yetu imekua, suala la kusema huyu hajui siyo tatizo kwa kuwa hata mtoto anapokuwa anakua kuna mambo anakuwa anakosea mpaka anakuwa mtu mzima. Hivyo ma director wachanga nao wakikosea siyo dhambi kwani na wao wanahitaji muda wa  kujifunza zaidi".

Mwanamke Aliyefanya Kazi ya Umalaya Kwa Miaka 25

Brenda Myers-Powell alikua mtoto wakati alipoanza kufanya ukahaba katika miaka ya sabini. Alizaliwa eneo la Chicago, Marekani na mamake mzazi alifariki dunia akiwa na miezi sita pakee.
Hapo ilimlazimu kusalia na bibi yake. Aligundua baadaye kwamba mamake alikufa kutokana na ulevi wa kupindukia.Kwa sababu bibi yake alikua mfanyikazi wa ndani ilimlazimu Brenda kujipeleka shule na kurejea nyumbani wenyewe licha ya kwamba alikua kwenye chekechea.

Baadhi ya watu walimdhulumu kingono mtoto huyo wakati alipokua akitoka chekechea.
Mwanamama huyu alifanya ukahaba kwa miaka 15, wakati huu wote hakuwahi kujiingiza katika mihadarati. Lakini kutokana na mazingira magumu kwenye madanguro ya ukahaba, hakuwa na budi kuanza kutumia mihadarati ili kusahau maisha aliyokua akiishi.
Baadaya ya miaka 25 kama kahaba, siku moja alikutana na mteja ambaye alikua katili.Alimtupa nje ya gari lake huku likienda kwa muendo wa kasi. Brenda alipata majeraha mabaya kiasi cha kupelekwa hospitalini akiwa mahututi.

Lakini madaktari waliokua wakimhudumia walimdhihaki kwamba alipata alichotaka na kumsuta kwamba alikua kahadaa mteja ndiposa akapata adhabu. Hapo wakawaita polisi kumkamata.

Wateja wakaribia kahaba barabarani
Lakini kwa bahati nzuri daktari mmoja alizungumza na Brenda na kumshauri afike katika kituo cha huduma ya jamii maarufu kama Genesis House. Msimamizi wa kituo hiki alikua Bi Edwina Gateley raia wa Uingereza.

Ni katika kituo cha Genesis Brenda alipata maisha mapya na kuanza safari ya kupona machungu, adhabu na kero za ukahaba. Hakupata shinikizo za kuondoka hadi pale alipohakikisha maisha yake yalikua shwari.
Kwa sasa Brenda anawasaidia wanawake na wasichana wanaokimbia ukahaba. Aidha alijaaliwa kuwa na familia, mume na wanawe wawili wa kike. Ana pia wajukuu. Maisha yake ni kuwafundisha soka watoto na kuhakikisha wanaishi kwa maadili mema.

HIZI NDIZO SABABU WANAWAKE WANAPENDA>>

Tunapoamua kufanya jambo sio kwamba tunafuata mkumbo au kulazimishwa bali ni our choice Kufanya ng0no kusiko a.k.a 0713 “MWIKO” katika jamii nyingi Ulimwenguni sio kwa vile tu inamaanika kuwa ni uchafu na inamadhara makubwa ya kimwili, kiakili na kiafya bali ni kinyume na mafundisho ya imani zetu za Dini.
Kinachofanyika chumbani ni uamuzi wenu ninyi wawili mnaopendana ikiwa tu mtakubaliana na kufanya hivo na pia ni siri yako wewe na mpenzi wako, kuna wapenzi wengi tunafanya mambo ya ajabu sana na watu tunaowapenda na tunafurahia na tunazidi kupendana na kutakana zaidi na zaidi kila siku….lakini mambo hayo ni “tab0o” ktk jamii kama ilivyo kwa Tigo au Ukware/uziNz!

Kuna baadhi ya watu (wake kwa waume) hujaribu na kisha wanajikuta wanafurahia na hivyo wanaendelea na kuna wengine hutaka kujua “unajisikiaje” lakini wanajikuta hawafurahii au mmoja wao hafurahii na hivyo wanaacha na kutorudia tena tendo hilo la mugongo-mugongo.

Pamoja na kuwa watu kuheshimu miiko ya dini zao, kupinga na kulisema vibaya tendo hili wachunguzi wa mambo ya Tigo wanadai kuwa mwanamke mmoja kati ya wanne anashiriki ngono ya nyuma (sasa hii sijui ni kuridhisha wapenzi au ni wao wanafurahia)…….wazoefu watusaidie hapa.

Ukweli kuhusu Tigo.- Sio tendo asilia ktk swala zima la ng0no na mapenzi hivyo kumbuka unapoamua kugawa tako kuwa na uhakika ndio kitu unataka kukifanya na sio kukifanya kwa vile “mchumba” kaomba/anataka…..wewe ndio mwenye maamuzi makuu ya nini unataka kifanyike mwilini mwako.

Kama unahisi unachokwenda kukifanya sio “n*atural*” na hujisikii vema kushiriki ng0no Tigo basi acha/kataa kufanya hivyo.

-Mara mishipa ya Tigo ikitanuka kutokana na kufanywa huko mara kwa mara huwa haijirudi kama ilivyo kwenye uke kwa vile haikuumbwa kwa ajili ya shughuli hiyo.

-Wengi tunaamini kuwa kufanywa nyuma ni kwa mashoga tu lakini kuna wanawake wanafurahia kama ilivyo ngono ya mdomo na baadhi hujigeuza kama njia mbadala ya kuzuia mimba au kulinda bikira (zaidi ni ktk jamii ya waarabu).

-Ukizoea sana kupigwa nyuma na mishipa ya huko kutanuka, basi inasemekana kuwa utatatizwa wakati wa kujifungua/kuzaa, si hivyo tu bali unaweza ukawa na tatizo la kuvuja mkojo kwani hutoweza kukaza tena misuli yako ukeni ambayo hulegea baada ya kuzaa.

Swala muhimu sio kutisha watu bali kuwaelimisha na kuwaachia wao wachague mchele upi na pumba zipi. Ukiangalia yale yote yanayokatazwa au kuitwa miiko ndiyo yanayofanywa zaidi kuliko yale tunayoruhusiwa kuyazungumzia na kuyatenda.

MADHARA MAKUU NI: 

Mwanamke anayefanyiwa mchezo huu hupata matatizo makubwa wakati wa kujifungua ikiwa ni pamoja na kutokwa na haja kubwa mfululizo wakati akijaribu kumsukuma mtoto. 


Tukio hili humsababishia aibu kubwa mwanamke, kiasi cha kumshushia hadhi yake mbele ya jamii.

Umri unaposonga, haja kubwa hutoka bila kizuizi kutokana na misuli ya sphincter inayobana njia ya haja kubwa kulegea. 

Inaweza kusababisha saratani ya eneo hilo ‘cancer of col0n’. 
Ugonjwa wa UTI, yaani uambukizi kwa njia ya mkojo, huwa sugu, maana akitokea mwanaume alifanya kitendo hicho kisha akafanya ngono kama kawaida, bakteria wanaoishi sehemu hiyo wanaingia na kuwa na madhara makubwa. 

hasara yake kubwa mwanaume anayekufanyia mchezo huwa hawezi kukuoa, pia ni rahisi kukutangaza kwa jamaa zake na kuonekana kituko mbele za watu, kama umeolewa heshima yako hupungua ndani ya ndoa. 
Paparaziwetu inakushauri na inapinga kwa nguvu zangu zote swala la Ng0no kusiko (tigo) ila na heshimu chaguo/uamuzi wako…..wewe ndio mweye mwili na unafanya vile utakavyo. 
Ushuri wa bure-Jiheshimu na thamini mwili wako…..usitoe tako lako kama dawa ya kumfanya mume asitoke nje au akupende zaidi…..ni aibu mumeo akikuta nyuma jamaa waliwahi pia. 

Pia anaweza kumuua mtoto kwa vile kila akimsukuma atoke, pumzi hukata kutokana na misuli inayofahamika kwa jina la ‘sphincter’ kulegea na kusababisha ambane mtoto.

MADA: MWANAMKE MWEUSI NI MTAMU KULIKO MWANAMKE MWEUPE!!!

Kumekuwa na mizozano ya hapa na pale kwenye vijiwe vya kahawa, mabwenini, barabarani, kazini, magetoni na sehemu nyingine kama hizo ambazo huwapa wanaume mwanya wa kujadili mapenzi, wanawake na uzuri wao.


Leo Mzee wa Makopaz amekutana na mada flani inayohusiana na 
utamu wa mwanamke katika  maeneo ya Chang`ombe, Dar Salaam kipindi ambacho wafanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) walipokuwa wanarudishia nguzo ya umeme iliyokuwa imeharibika. Mada ilikuwa ni tamu sana kiasi kwamba walishindwa kumaliza kazi kwa muda muafaka. Unajua tena, na matusi ya hapa na pale ndio kachumbari kwa wafanyakazi hao!!

KWELI KIBA KAPATA DEMU HAPA HEBU MTAZAME DEMU WAKE ANAVYODATISHA AKIWA BEACH

SABABU YA WANAWAKE WANAPENDA KULIWA TIGO..!!

Mtu wa Ajabu!!! Watch it...

 
Tokeo la picha la MTU WA SURA YA AJABU

Lulu na SAKOLO dance!!


SODOMA NA GOMOLA HUKO MOMBASA!!!!!!


MACHO HUONYESHA HISIA KATIKA MAPENZI>>SOMA HAPA!!!!

unaweza kuwa na hasira,,mawazo,,ama furaha na macho yako yakaonyesha ishara bila kificho lakini pia katika suala zima la mapenzi hisia huonekana machoni

yapende macho yako wakati wote na pia tumia macho yako kufahamu hisia za mapenzi ya mwenza wako

WADADA WALIOLETA MACHAFUKO USIKU WA LEO>>>

TONTO DIKEH WA NIGERIA AONESHA MAUNGO YAKE HADHARANI...JIPE RAHA YA MACHO WEEEH






MTANGAZAJI WA TV AMTONGOZA RAIS!>>HEBU SOMA HAPA

Mtangazaji Doreen Komuhangi ambae ameingia kwenye list ya watangazaji wazuri nchini Uganda anayefanya kazi katika kituo cha NBS TV, Mrembo huyo kupitia akaunti yake ya twitter aliandika juu ya kuvutiwa kimapenzi kutokana na ufanyanyi kazi wa Rais Uhuru Kenyatta Kutoka Kenya na aliandika kama ifuatavyo 



“The way that guy does his things..oh my God, am in love. he is a true Gentleman.”

BAADA YA KUPATA UMAARUFU KWA KUFANANA NA WEMA MWANADADA TUERNY SASA AAMUA KUJIMWAGA HUKO INSTAGRAM>>

KEKI YENYE UMBO LA MAUNGO YA MWANAMKE YAZUA GUMZO..HEBU IONE ILIVYO KAMA ......>>


D'Banj turned 35 years old 9th June, 2015 but celebrated with a star studded party last night June 13 at Quilox nightclub. His celebrity friends that showed up to party with him include Toolz, her fiance, Oritsefemi, Banky W, Terry G, Sound Sultan, Olu Maintain and more. See more pics after the cut...











JIONEE DADA ANACHOMFANYIA MZUNGU HUYU BONGO NI NOUMA>>

AMBER ROSE ABAMBWA KITAANINI AKIZUNGUSHA KUWARUSHA ROHO VIDUMEE>>JIONEE HAPA

 
The 31 year old models, Amber Rose , seems to be moving on swiftly with her life even after engaging in war words with Khloe Kardashian, her estranged husband Wiz Khalifa and her ex-
boyfriend Kanye West… She was spotted house hunting in West Hollywood, California… Check out her s3xy & hot photos…

MMH DIVA NA UWOYA WATUNISHIANA MISULI KWA MAVAZI YASIYOKUWA NA MAADILI YA KITANZANIA>>>


Kizuri hakikosi kasoro msemo huo umejidhihirisha kwa bibie Zarina,Kila picha huwa hatabasamu kama timu nonihino kisa manoyake hayaeleweki jinsi yalivyo jipanga.Kimombo wanasema anadental formula mbovu.