Bado Lulu ‘anamchanganya’ Bahati kutoka Kenya

Kitendo cha Elizabeth Michael ‘Lulu’ kumuweka msanii Bahati kutokea Kenya hotelini kinyume na makubaliano yao, bado hakimtoki kichwani muimbaji huo wa gospel. Kwa mujibu wa Bahari mwaka 2016 alikuja Tanzania kwa ajili ya kufanya video ya wimbo wake ‘Maria’ na alipanga kumtumia Lulu kama video vixen, hata hivyo mrembo huyo hakutokea katika kikao walichopanga kingefanyika hotelini. Kwa sasa Bahati amerudi tena Tanzania kwa ajili ya kufanya kazi na msanii wa WCB, Mbosso, hata hivyo bado anakumbuka alichofanyiwa na Lulu. “Ilikuwa meeting ya video vixen, kama alinifanyia hivyo je anaye

Siri Gari Mpya ya Diamond Yafichuka

DAR ES SALAAM: Lile gari jipya la staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ aina ya Land Cruiser, ambalo limedaiwa ni toleo jipya la 2018 kuzua gumzo mitandaoni, siri imefichuka kuwa si jipya bali ni la zamani lakini limebadilishwa muundo na Kampuni ya TTTR Auto Up Grades. Co. Ltd iliyopo Mikocheni B jijini Dar. Chanzo makini kililieleza Amani kuwa tangu awali mzazi mwenziye na mwanamuziki huyo, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ alipoanika ndinga lake jipya ilionekana wazi kwamba msanii huyo aliamua kulipiza kisasi kwa kutupia Land Cruiser hilo. Diamond kwa mara ya kwanza ali

Hapa kuna Mbuzi na Kuku Lazima Tuheshimiane- Steve Nyerere

Msanii wa filamu bongo ambaye pia ni mchekeshaji maarufu Steve Nyerere, ameingilia kati ugomvi baina ya Duma na Gabo Zigamba huku akimtaka Duma kuachana na masuala hayo kwa kuwa anaetaka kushindana naye yupo juu yake zaidi kwa kila kitu. Steve ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha eNewz kutoka EATV huku akionekana kukerwa na kitendo hicho ambacho kimedumu kwa muda mrefu kwa wawili hao na kupelekea Steve kuwafananisha na wanyama aina ya mbuzi na kuku kutokana na tabia zao. "Hapa katikati kuna mbuzi na kuku, lazima tuheshimiane kutokana na urefu na hata jinsi mbuzi

Nahitaji Ushauri, Mke Amebadilika Sana Tangu Mimi Niondoke..

Wadau hamjambo, Naomba msaada, niko South Africa since last week, niliondoka Tz mpaka South Africa baada ya kupata mchongo kwa rafiki yangu ambaye alinitafutia mchongo wa kazi. Namshukuru Mungu nilifika salama na maisha yanaendelea vyema kabisa. suala kubwa lililopo ni kuhusu wife wangu, kipindi naondoka nilimshirikisha lakini alionekana kuwa na hasira sana juu ya uamuzi wangu wakuja South, Nilijaribu sana kumsihi yakuwa nakuja kuangalia namna mambo au upepo ulivyo kisha nitageuza lakini alishindwa kunielewepa kabisa na kuwa mtu mwenye hasira kiasi ambacho hata unyumba alininyima.

Binti wa Kiganda Aeleza Sababu za Kujiteka

Nakusogezea hii kuhusu Jeshi la Polisi ambapo limemkamata mtoto wa miaka 15 baada ya kufeki kutekwa na kubakwa ili ajipatie fedha kwa baba yake nchini Uganda. Msichana huyo alimpigia simu baba yake David Kazibwe, akimwambia kuwa ametekwa na wanaume wanne ambao wanahitaji Shilingi Milioni 30 za kiganda ambazo ni sawa na zaidi ya Milioni 18 za kitanzania ili aachiwe huru jumamosi iliyopita. Afisa wa kituo cha polisi cha Bujuuko Emmy Nuwagira amesema kuwa Kazibwe aliwaarifu polisi baada ya mtoto wake huyo kurudi nyumbani na baada ya kumuuliza alikuwa wapi alidai kuwa amefanikiwa kuwat

Sasha 'Nitaendelea Kupiga Picha za Nusu Utupu Baada ya Kupumzika Kwa Muda'

LICHA ya Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza kuwafungia na kuwaita na kuwakanya wasanii ambao wamekuwa wakijianika nusu utupu, muuza nyago kwenye video mbalimbali za wanamuziki Bongo, Sasha Kassim amefunguka kuendelea kupiga picha za nusu utupu. Akizungumza na Gazeti la Amani, Sasha alisema kuwa anajiandaa kupiga picha nyingine ambazo kama ni nguo za ndani zitaonekana nadhifu na zenye kuvutia na pia zitapungua ‘ukali’.  “Nilipotea kwa sababu niliibiwa akaunti yangu ya Instagram, si unajua ilikuwa na picha nyingi sana ila sasa hivi najiandaa kup

SMS ZA MAPENZI KWA MPENDAE

Ni kitu muhimu sana katika maisha ya uhusiano kwani zinatia chachu na kumfanya mwenza wako ajihisi ni wa pekee katika kichwa chako,kwamba unampenda,unamkumbuka na unamjari sana. hizi ziguatazo ni sms mbalimbali ambazo unaweza kumtumia mwenza wako asubuhi,mchana au usiku na hata kama umemkosea zipo sms ambazo zinaweza kukuwakilisha wewe kwa mpenzi wakonamshukuru ALLAH kwa kuamka salama ,ni jambo la kumshukuru nawe kwa kuona siku nyingine,sauti za tawala masikioni mwangu,nani furaha yangu kusikia u hali gani.........................ni usiku tulivu wenye hali ya hewa saaf

Diamond Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Sakata la Kumwaga Zari

AMEFUNGUKA kwa mara ya kwanza! Baada ya kusambaa kwa maneno ya chinichini kwamba mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amemuangukia mzazi mwenzake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ akimuomba radhi ili warudiane, staa huyo ameibuka na kutolea ufafanuzi ishu hiyo. Ubuyu huo uliosambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii, uliibuka hivi karibuni na kueleza kuwa, kwa nyakati tofauti, Diamond alitinga nchini Afrika Kusini ‘Sauz’, nyumbani kwa mwanamama huyo wa Kiganda na kumuomba msamaha ili waweze kurudiana na kulea watoto wao wawili, Tiffah na Nillan. ETI NI KWA SAB

Hii Hapa Sababu Kubwa Inayowafanya Wanawake Kupiga Kelele Wakati wa Tendo la Ndoa

Kumekuwa na tabia au hali ya wanawake wengi kupiga kelele au unaweza kusema kutoa sauti wakati wakishiriki tendo la ndoa. Hali hii imeacha maswali kama kutoa huko sauti ni jambo la asili au ni mwanamke mwenyewe anaamua hapa atoe sauti na kwingine asitoe. Mwaka 2011 watafiti wawili mmoja kutoka Chuo Kikuu cha Lancashire na mwingine kutoka Chuo Kikuu cha Leeds wote wa nchini Uingereza walichapisha utafiti wao walioufanya uliokuwa ukihusu utoaji wa sauti wa kati wa kujamiina. Walitaka hasa kujua kwanini wanawake hutoa sauti hizo. Katika utafiti huo, waliwahoji wanawake 71 wenye umri k

Ruby Azua Kizazaa Kingine, Adaiwa Kushindwa Kufanya Show Afrika Kusini

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Ruby, amesema hawezi kuzungumzia jambo lolote lililomtokea nchini Afrika Kusini alipokwenda kikazi kutumbuiza licha ya watu kudai hakuweza kuimba kutokana na vitu alivyokuwa akivitumia na kumpelekea kupata usingizi mzito na mwishowe kuishia kulala hotelini. Ruby ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza mbele ya kamera za eNewz kutoka EATV baada ya mtangazaji wa kipindi hicho kutaka kufahamu ukweli wa mambo yaliyomsibu kama ni kweli au laa lakini cha kushangaza mwanadada huyo alihamaki na kukimbia 'interview'. "Kuna sababu nyingi sana za mtu

Nasikitika Kuona Kizazi cha 'Wife Material' Kinazidi Kupotea Duniani

Natumai mko wazima wa afya, wakuu nimekuwa katika tafiti zangu juu ya wanawake kwa muda wa miaka minne. Jambo nililogundua ni kuwa binti wengi wanaanza mapenzi wakiwa na umri mdogo tena na watu walio wazidi umri. Yani kisa kilichonimaliza nguvu ni binti wa form one tena kiongozi wa dini, kwa macho ni katulivu, kapole lakini baba mzima ndo anafanya nae mapenzi bila aibu. Huyo ni mmoja wapo kati ya sample 100 nilizozitumia za mabinti umri wa miaka 10 - 14.Tena wengine hawana aibu wanapost na boyfriend zao fb. Sasa ninachojiuliza hivi mama zao hawana utaratibu wa kuwakagua bikra kila w

Mbwana Samatta Atua Mecca Kufanya Umrah

Mbali na soka lakini mchezaji wa Taifa Stars na Klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta ni mtu wa ibada. Mchezaji huyo baada ya kumalizika kwa ligi kuu ya Ubelgiji ametua mjini Mecca nchini Saudia Arabia kwa ajili ya kufanya ibada ya Umrah. Mbwana Samatta (kushoto) akiwa na mchezaji mwenzake wa Genk, Omar Colley Kwenye ziara hiyo, Samatta ameambatana na mchezaji mwenzake wa Genk, Omar Colley ambaye ni raia wa nchini Gambia. Samatta anatarajiwa kurejea hapa nchini muda sio mrefu kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa hisani wa kuchangia elimu kati yake na timu ya Alikiba kwenye mc

"Mimi Sipendi Kutumia Kondomu" - Chemical

Mwanamuziki anayefanya poa na ngoma zake , Chemical ameweka wazi kuwa yeye siyo muumini wa kutumia kinga (kondomu) ndiyo maana mara nyingi anapenda kuwa kwenye mahusiani na mtu ambaye ni muaminifu. Kupitia kipindi cha Kikaangoni  kinachorushwa kila Jumatano kupitia ukurasa wa Facebook EATV, Chemical amesema hayo wakati alipoulizwa na mtangazaji wa kipindi hicho mara yake ya mwisho kutumia kinga. "Mara ya mwisho kutumia kinga wakati nafanya mapenzi ni muda kidogo, ila kiukweli mimi sio shabiki wa kinga kabisa. Mambo ya kinga kinga mimi hapana ndiyo maana napenda sana kuwa na mt

Amber Lulu Ametaja List ya Mastaa wote Bongo Aliowahi Kutoka nao

Muimbaji wa Bongofleva Amber Lulu leo kupitia mahojiano yake na kipindi cha Break cha Clouds TV amekuwa gumzo mitandaoni baada ya kukubali kuweka wazi orodha ya mastaa wa Bongo ambaye amewahi kutoka nao kimapenzi. Amber Lulu akihojiwa na Simple The Boy aliulizwa vipi anatoka kimapenzi na Nuh Mziwanda na alikanusha  lakini alipoulizwa  ni mastaa gani wa bongo ambao amewahi kuingia nao katika mahusiano ya kimapenzi alikuwa radhi kusema. “Mimi na Nuh  ni marafiki tu na tumefanya kazi pamoja list ya mastaa ambao nimewahi kulala nao ni Barnaba, Aslay, Rammy Garis ila You

MSAMI “Nilivyoachana na Uwoya Nilikuwa Bado Nampenda”

Jana May 30, 2018 kupitia kipindi cha XXL cha Clouds Fm dancer na pia msanii wa Bongofleva  Msami alifanya mahojiano na kuongea vitu kibao ikiwemo mahusiano yake na muigizaji Irene Uwoya ambaye kwa sasa ni mke halali wa Dogo Janja. Msami amefunguka na kusema kuwa Godzilla aliwahi kumpigia simu aliyekuwa mpenzi wake Irene Uwoya na kumzungumzia vibaya juu yake na hakujua lengo halisi la Godzilla kufanya hivyo ilikuwa ni nini hasa. “Wakati nikiwa na mahusiano na Irene Uwoya Godzilla alimpigia simu uwoya na kunipondea sana” Msami ameongezea pia na kusema kuwa wakati anaachana na Ir

Weusi ni Ubunifu Wangu - Nisher

Muongozaji wa video za muziki wa bongo, Nisher amefunguka kufafanua kwa nini amekuwa akitumia rangi nyeusi katika kazi zake na kudai ni ubunifu wa kujitofautisha na watu wengine wengi wanaofanya kazi hiyo. Nisher amefunguka hayo baada ya maswali mengi mtaani kuzagaa kwa kipindi kirefu  kwa nini anatumia rangi nyeusi, kwa kudai kwamba video ni kama nguo ikivaliwa leo kesho itapumzishwa hivyo yeye kuweka rangi nyeusi ni kubadilisha mionekano ya rangi za video kama ilivyokuwa imezoeleka hapo awali. Picha ya  wimbo wa weusi 'Gere' aliouongoza Nisher. Aidha Nisher amefafa

Mwanamke Aliyefanya Kazi ya Umalaya Kwa Miaka 25

Brenda Myers-Powell alikua mtoto wakati alipoanza kufanya ukahaba katika miaka ya sabini. Alizaliwa eneo la Chicago, Marekani na mamake mzazi alifariki dunia akiwa na miezi sita pakee.Hapo ilimlazimu kusalia na bibi yake. Aligundua baadaye kwamba mamake alikufa kutokana na ulevi wa kupindukia.Kwa sababu bibi yake alikua mfanyikazi wa ndani ilimlazimu Brenda kujipeleka shule na kurejea nyumbani wenyewe licha ya kwamba alikua kwenye chekechea.Baadhi ya watu walimdhulumu kingono mtoto huyo wakati alipokua akitoka chekechea.Mwanamama huyu alifanya ukahaba kwa miaka 15, wakati huu wote

HIZI NDIZO SABABU WANAWAKE WANAPENDA>>

Tunapoamua kufanya jambo sio kwamba tunafuata mkumbo au kulazimishwa bali ni our choice Kufanya ng0no kusiko a.k.a 0713 “MWIKO” katika jamii nyingi Ulimwenguni sio kwa vile tu inamaanika kuwa ni uchafu na inamadhara makubwa ya kimwili, kiakili na kiafya bali ni kinyume na mafundisho ya imani zetu za Dini. Kinachofanyika chumbani ni uamuzi wenu ninyi wawili mnaopendana ikiwa tu mtakubaliana na kufanya hivo na pia ni siri yako wewe na mpenzi wako, kuna wapenzi wengi tunafanya mambo ya ajabu sana na watu tunaowapenda na tunafurahia na tunazidi kupendana na kutakana zaidi na zaidi

MADA: MWANAMKE MWEUSI NI MTAMU KULIKO MWANAMKE MWEUPE!!!

Kumekuwa na mizozano ya hapa na pale kwenye vijiwe vya kahawa, mabwenini, barabarani, kazini, magetoni na sehemu nyingine kama hizo ambazo huwapa wanaume mwanya wa kujadili mapenzi, wanawake na uzuri wao. Leo Mzee wa Makopaz amekutana na mada flani inayohusiana na utamu wa mwanamke katika  maeneo ya Chang`ombe, Dar Salaam kipindi ambacho wafanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) walipokuwa wanarudishia nguzo ya umeme iliyokuwa imeharibika. Mada ilikuwa ni tamu sana kiasi kwamba walishindwa kumaliza kazi kwa muda muafaka. Unajua tena, na matusi

KWELI KIBA KAPATA DEMU HAPA HEBU MTAZAME DEMU WAKE ANAVYODATISHA AKIWA BEACH

SABABU YA WANAWAKE WANAPENDA KULIWA TIGO..!!

   VIDEO HAPA>>>>>>>BOFYA

Mtu wa Ajabu!!! Watch it...

 

Lulu na SAKOLO dance!!

SODOMA NA GOMOLA HUKO MOMBASA!!!!!!

MACHO HUONYESHA HISIA KATIKA MAPENZI>>SOMA HAPA!!!!

unaweza kuwa na hasira,,mawazo,,ama furaha na macho yako yakaonyesha ishara bila kificho lakini pia katika suala zima la mapenzi hisia huonekana machoni yapende macho yako wakati wote na pia tumia macho yako kufahamu hisia za mapenzi ya mwenza wako

WADADA WALIOLETA MACHAFUKO USIKU WA LEO>>>

TONTO DIKEH WA NIGERIA AONESHA MAUNGO YAKE HADHARANI...JIPE RAHA YA MACHO WEEEH

MTANGAZAJI WA TV AMTONGOZA RAIS!>>HEBU SOMA HAPA

Mtangazaji Doreen Komuhangi ambae ameingia kwenye list ya watangazaji wazuri nchini Uganda anayefanya kazi katika kituo cha NBS TV, Mrembo huyo kupitia akaunti yake ya twitter aliandika juu ya kuvutiwa kimapenzi kutokana na ufanyanyi kazi wa Rais Uhuru Kenyatta Kutoka Kenya na aliandika kama ifuatavyo “The way that guy does his things..oh my God, am in love. he is a true Gentleman.”

BAADA YA KUPATA UMAARUFU KWA KUFANANA NA WEMA MWANADADA TUERNY SASA AAMUA KUJIMWAGA HUKO INSTAGRAM>>

KEKI YENYE UMBO LA MAUNGO YA MWANAMKE YAZUA GUMZO..HEBU IONE ILIVYO KAMA ......>>

D'Banj turned 35 years old 9th June, 2015 but celebrated with a star studded party last night June 13 at Quilox nightclub. His celebrity friends that showed up to party with him include Toolz, her fiance, Oritsefemi, Banky W, Terry G, Sound Sultan, Olu Maintain and more. See more pics after the cut...

JIONEE DADA ANACHOMFANYIA MZUNGU HUYU BONGO NI NOUMA>>

AMBER ROSE ABAMBWA KITAANINI AKIZUNGUSHA KUWARUSHA ROHO VIDUMEE>>JIONEE HAPA

 The 31 year old models, Amber Rose , seems to be moving on swiftly with her life even after engaging in war words with Khloe Kardashian, her estranged husband Wiz Khalifa and her ex-boyfriend Kanye West… She was spotted house hunting in West Hollywood, California… Check out her s3xy & hot photos…

MMH DIVA NA UWOYA WATUNISHIANA MISULI KWA MAVAZI YASIYOKUWA NA MAADILI YA KITANZANIA>>>

Kizuri hakikosi kasoro msemo huo umejidhihirisha kwa bibie Zarina,Kila picha huwa hatabasamu kama timu nonihino kisa manoyake hayaeleweki jinsi yalivyo jipanga.Kimombo wanasema anadental formula mbovu.
Pages (13)1234567 Next